0 0
Read Time:27 Second

Wuhan Tanzania Students Association WUTASA

Michuano ya #AFCON china hufanyika kila mwaka isipokuwa mwaka jana kutokana na maabukizi ya COVID.Mwaka huu yalinza, Jumamosi Mei 1, 2021 na jana Mei 3, 2021 Bongo Team (Team ya Tanzania Wuhan) walikua na mchezo wao wa kwanza dhidi ya DRC na kufanikiwa kuwafunga bao 1 kwa 0. kwa sasa bado tupo kwenye group stages (Group C), ambapo kuna Bongo Team (Tanzania), DRC na GABON. Kesho ndio tutacheza na GABON saa tano na nusu asubuhi, Mei 5, 2021.John A. NyantoriAfisa Habari #WUTASA

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %