
Read Time:13 Second
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Equity Tanzania Esther Kitoka, alikaribishwa kama Mgeni rasmi na kuzungumza na wageni waalikwa katika hafla ya kusherehekea miaka mitano ya kikundi cha Kikoba cha Faith Vicoba Group iliyofanyika katika hoteli ya Mbezi Garden jijini Dar es Salaam.
EquityBank









