0 0
Read Time:14 Second

Mkurugenzi Muendeshaji wa Benki ya Equity (T), Esther Kitoka akichukua risiti yake katika mashine maalumu ya kuweka fedha iliyopo kwenye tawi la Mwenge, ambapo sasa mteja ataweza kufanya miamala ya kuweka pesa kwa kujihudumia mwenyewe kwa haraka na kupata risiti papo hapo baada ya huduma.

#ThePowerOfService

#equitybank

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %