Read Time:12 Second
WU® MEDIAPRODUCTION LIMITED
Rais Samia amemteua Balozi Caroline Kitana Chipeta kuwa Balozi wa Tanzania The Hague nchini Uholanzi ambapo kabla ya hapo alikuwa Mkurugenzi wa kitengo cha sheria, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.