
WU® MediaPRODUCTION LIMITED
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dr. Hussein Ali Mwinyi ameshiriki maziko ya Kaka yake Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi yaliyofanyika Mangapwani, Mkoa wa Kaskazini Unguja .
Maziko hayo yalihudhuriwa pia na Alhaji Mzee Ali Hassan Mwinyi, ambaye ni baba mzazi wa Marehemu. Wengine waliohudhuria ni viongozi mbalimbali wa Dini, Siasa, Serikali na wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama.



📆 31 Agosti, 2022
Mangapwani, Unguja








