0 0
Read Time:33 Second

Khartoum, Sudan

WU® MEDIA

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia wizara yake ya mambo ya nje imeamua kuwaondosha wanafunzi wote wa kitanzania wanaosoma nchini Sudan kutokana na hali ya vita vinavyoendele nchini humo.

Kutokana na Hali ya kiusalama safari za ndege zimesitishwa nchini humo, hivyo wanafunzi hao wataanza safari yao kwa njia ya ardhini wakipitia mipaka ya nchi hiyo kuelekea nchini Ethiopia kwa usafiri wa basi, watakapo wasili nchini Ethiopia kwa ushirikiano wa balozi wa Tanzania nchini humo watapanda ndege kurejea nyumbani Tanzania.

Smoke fills the sky in Khartoum, Sudan, near Doha International Hospital (AP)

Tuwaombee dua watoke salama na wafike nyumbani Tanzania salama.

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %