0 0
Read Time:14 Second

Maputo , MSUMBIJI

Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe. Phaustine Kasike alikutana na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Joaquim Chissano, Prof. José Magode katika Ofisi za Chuo Jijini Maputo tarehe 22/3/24.Pamoja na masuala ya ushirikiano viongozi hao wamekubaliana kuanzisha Darasa la Kiswahili Chuoni hapo

#kiswahili
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %