0 0
Read Time:16 Second
WATANZANIA ITALY

Watanzania walishiriki katika mashindano ya mpira wa miguu yaliyoandaliwa kwa ajili ya kupinga ubaguzi wa rangi ambao bado upo katika jamii ughaibuni. Timu ya Tanzania ikiongozwa na mwenyekiti wa jumuiya ya Watanzania tawi la Modena ndugu Pascal Nyalusi(picha ya chini)  ilitolewa katika hatua ya robo fainali.( picha na George Mayaka)
WABONGO UGHAIBUNI
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %