PROF. KABUDI KUONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MIKUTANO YA JUMUIYA YA MADOLA
London UK Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba Kabudi, amewasili jijini London, Uingereza kushiriki Kikao cha 72 cha Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya Madola (CMAG)…


































































































