Latest Post
WAZIRI MKUU: TUTAFUTE MBINU MPYA ZA KUKIENEZA KISWAHILI
Paris France WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuna haja ya kutafuta mbinu mpya ya kukieneza Kiswahili baada ya kuwa kimepata hadhi ya kimataifa. “Kadiri Kiswahili kinavyoendelea kupata hadhi ya…
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan awakumbuka Lumumba na Nyerere
Moscow, Urusi RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan amesifu mchango wa Chuo Kikuu cha Urafiki cha Watu wa Urusi (RUDN) katika ukombozi wa nchi za Afrika akisema kimesadifu maono ya viongozi…
RAIS SAMIA AELEKEA URUSI KATIKA ZIARA YA KITAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam…
BALOZI SWAHIBA AANIKA VIPAUMBELE VYA MAENDELEO KWA DIASPORA
Sweden Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Swahiba Mndeme, ameainisha vipaumbele vya utekelezaji wa majukumu yake katika kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na diaspora, kuvutia uwekezaji, kukuza biashara na kueneza…
BALOZI YAKUBU ATETA NA VIONGOZI WAPYA WA TANZANIA DIASPORA NCHINI FRANCE
Paris France Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Saidi Othman Yakubu, amezungumza na viongozi wapya wa Chama cha Watanzania Waishio Ufaransa (Diaspora Tanzania France) kujadili nafasi…
WAZIRI KOMBO AWASILI JAMHURI YA KOREA KWA ZIARA YA KIKAZI
Korea Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo amewasili katika Jamhuri ya Korea Mei 30, 2026 kwa ziara ya kikazi pamoja…
MAFANIKIO YA ZIARA YA RIO FERDNAND NCHINI TANZANIA
Maandalizi ya AFCON 2027 Waziri Makonda Alimkaribisha Rio Ferdinand DAR ES SALAAM – Katika harakati za kupanua ushawishi wa Tanzania kimataifa na kuleta fursa za kiuchumi, Waziri wa Habari, Utamaduni,…
WORLD FOOD PROGRAMME EXECUTIVE DIRECTOR CINDY MCCAIN ANNOUNCES PLANS TO STEP DOWN TO FOCUS ON HER HEALTH
WFP News Release 26 February 2026 Rome, Italy – Cindy McCain, Executive Director of the United Nations World Food Programme (WFP), today informed her global teams and the organization’s Executive…
DANGOTE AIPONGEZA SERIKALI, AANGAZIA FURSA ZAIDI ZA UWEKEZAJI NCHINI
Economic Diplomacy Dar Es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji…
RAIS SAMIA AKUTANA NA ALIKO DANGOTE
Dar Es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa…
Italia-Africa Coop.Int: Mkutano na Balozi Mbarouk kuhusu Elimu, uwekezaji na Masoko ya Bidhaa za Kilimo
Diplomasia ya uchumi Na Kagutta NM | 13/05/2026 Roma Wadau wa ITALIA-AFRICA Cooperazione Internazionale (wakiongozwa na Rais wa taasisi, Wakili Angela Felicia Senese), Avvenire srl, Marco Polo srl, na COINS…
BALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NCHINI ITALY AKUTANA NA DIASPORA
Na Kagutta NM | 25-4-2025 CASERTA ITALY DIASPORA BALOZI UNGANANA NA WATANZANIA KUSHEREHEKEA MIAKA 62 YA MAPINDUZI Mh. Mbarouk Nassor Mbarouk Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Italy,…
APE NETWORK YASHIRIKI MAONYESHO YA KIMATAIFA YA VITABU NCHINI ITALY
Bologna Italy Na Kagutta Maulidi | Italy Kampuni ya uchapishaji ya kitanzania APE NETWORK imeshiriki maonyesho makubwa ya kimataifa ya vitabu vya watoto nchini Italy. Maonyesho hayo ya 63 ya…
MSIBA DIASPORA
Hassan Ng’anzo afariki kwa ajali ya gari akiwa Tanzania Mitandao ya wana diaspora duniani imegubikwa na huzuni mkubwa baada ya kuondokewa na kiungo muhimu veterani wa Diaspora. Hassan Ng’anzo ni…
PROF. KABUDI KUONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MIKUTANO YA JUMUIYA YA MADOLA
London UK Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba Kabudi, amewasili jijini London, Uingereza kushiriki Kikao cha 72 cha Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya Madola (CMAG)…
Mawaziri EAC Wakutana Kukamilisha Maandalizi ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi
ARUSHA TANZANIA Mkutano Maalumu wa 59 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umefanyika leo tarehe 5 Machi 2026 jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya…
Balozi Mteule wa Hungary awasilisha nakala ya Hati za Utambulisho
WU®MEDIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amepokea rasmi nakala ya Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Hungary…
TANZANIA YAONGEZA KASI YA USHIRIKIANO KWENYE DIPLOMASIA YA KIMATAIFA
Brussel BELGIUM Tanzania Yaongeza Ushirikiano wa Kimkakati na Umoja wa Ulaya katika Mwelekeo Mpya wa Diplomasia Inayozingatia Matokeo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati…
TANZANIA YATOA UHAKIKA LONDON: SALAMA, THABITI NA TAYARI KWA UWEKEZAJI
London UK #Economicdiplomacy London, Uingereza — Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), amewahakikishia wawekezaji wa Uingereza kwamba Tanzania ni nchi salama, yenye…
TANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA UTALII NCHINI FINLAND
WU®MEDIA Kampuni binafsi za Lifestyle Safaris & Holidays na Lifetime Safaris za Tanzania nazo zinashiriki katika maonesho hayo zikiwa na timu ya Ubalozi wa Tanzania. Nchi zingine za Afrika zinazoshiriki…
WAZIRI KOMBO AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA JENGO LA MAFUNZO KWA WATUMISHI WA UMMA.
WU®MEDIA Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) ameweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa Jengo la mafunzo kwa watumishi wa Umma…
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA PILI WA JUKWAA LA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA AFRIKA NA RUSSIA
WAZIRI KOMBO AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO WA PILI WA JUKWAA LA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA AFRIKA NA RUSSIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…
Tanzania’s Beacon of Peace Prevails: UN Chief Hails TANZANIA as Global Model After Historic Electoral Test
WU®MEDIA In a powerful endorsement of Tanzania’s stabilizing role on the world stage, United Nations Secretary-General António Guterres has reaffirmed the nation as a “global reference point for peace and…
URAIA PACHA UKO HATARINI NCHINI MAREKANI
Tanzania ilikuwa mbele ya Muda Anaandika Dr. Yahya Msangi . Miaka mitatu iliyopita wakati Balozi #Mulamula kakalia Kiti Cha Waziri wa Mambo ya Nje kulizuka vuguvugu kubwa miongoni mwa diaspora.…
NIDA YAWAFIKIA DIASPORA
NIDA Yawafuata Diaspora Na Alphani Mlacha-NIDA Katika kutekeleza majukumu yake ya utambuzi na usajili, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) haijawasahau Watanzania Wanaoishi Nje ya Nchi (Diaspora). Hii ni kwa…
SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA MABALOZI WA EU
Dar Es Salaam Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, leo Alkhamisi tarehe 4 Disemba amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wa Nchi Wanachama…
RAIS MWINYI AISHUKURU INDIA KWA MCHANGO MKUBWA KATIKA MAENDELEO YA ZANZIBAR
Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya India kwa misaada ambayo imekuwa ikichangia maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini.…
Tanzania haina Mpango wa kutoa Uraia kwa Wakimbizi.
Na. Mwandishi Wetu,Dar es Salaam.Serikali ya Tanzania imeweka wazi Mpango wake wa kutotoa Uraia kwa Wakimbizi wanaoishi katika kambi za Wakimbizi zilizopo hapa nchini huku ikiwataka wakimbizi hao kuwa tayari…
WAZIRI MCHENGERWA AFANYA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA DAWA DUNIANI.
WU®MEDIA Na Mwandishi Wetu- Algeria Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na wadau mbalimbali wa uzalishaji wa dawa na teknoloajia mbalimbali za afya ambapo wengi wao…
Tanzania Kuendeleza Ushirikiano wa Kidiplomasia na Jumuiya ya Kimataifa
Dar Es Salaam TANZANIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amekutana na kuzungumza na Jumuiya ya Wanadiplomasia wanaowakilisha nchi na…
Tanzania, Korea zapanda mbegu ya ushirikiano mpya wa kiuchumi
WU®MEDIA Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Korea zimefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi kupitia Jukwaa la Biashara la Tanzania–Korea (Tanzania–Korea Business Forum) lililowakutanisha wadau wa uwekezaji…
Tanzania imeshiriki Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Afrika Mashariki (SCTIFI)
Nairobi KENYA Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeshiriki Mkutano wa 47 wa Baraza la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Afrika Mashariki (SCTIFI) na Mkutano wa Dharura Pili…
DR NCHIMBI AMUWAKILISHA RAIS MKUTANO WA AU-EU SUMMIT
Luanda Angola Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Quatro de Fevereiro, Jijini Luanda nchini Angola…
RIPOTI YA CNN KUHUSU TANZANIA IMEKOSA UWIANO NA MISINGI YA KIUJUMLA
Kwa Nini Ripoti ya CNN Kuhusu Tanzania Haistahili Kuaminiwa?” Kama mwandishi wa Habari na mchambuzi wa masuala ya Dini, siasa na jamii Nimeisikiliza Ripoti ya CNN kuhusu kile kilichotokea Tanzania…
BALOZI KOMBO NA MANAIBU WAKE WAPOKELEWA OFISI ZA WIZARA MTUMBA
Dodoma Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) wamepokelewa katika Ofisi za Wizara zilizoko Mji wa Serikali Mtumba baada ya kuapishwa…
RAIS SAMIA ATANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI
Balozi Kombo aendelea na nafasi ya Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 17/11/2025 akiwa ikulu ya Chamwino…
Amani ya kudumu haiwezi kupatikana bila maendeleo jumuishi na endelevu | Dkt. Nchimbi
KINSHASA DRC Wito wa amani, usalama na maendeleo kama ilivyosadifu kaulimbiu ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), ulitawala kwenye hotuba…
BUNGE LAMTHIBITISHA DR NCHEMBA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Dodoma TANZANIA Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kura 369 baada ya kuteuliwa…
Dkt. Samia Suluhu Hassan ashinda uchaguzi mkuu wa Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
01/11/2025 ‘Uchaguzi umeisha tusimame pamoja kama Taifa’ – Hotuba ya Kwanza ya Samia Suluhu Rais Samia Suluhu Hassan akabidhiwa cheti cha ushindi wa uchaguzi wa 2025 na Tume Huru ya…
Dr. HUSSEIN MWINYI AAPISHWA KIUWA RAIS WA ZANZIBAR
DK. MWINYI AAPISHWA RASMI KUWA RAIS WA ZANZIBAR Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi ameapishwa rasmi leo Tarehe 01 Novemba, 2025 kuwa rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika…
WAZIRI KOMBO AKUTANA NA MABALOZI WA NORDIC
WU®Media| Dar Es Salaam WAZIRI KOMBO AKUTANA NA MABALOZI WA NORDIC KUIMARISHA USHIRIKIANO WA MAENDELEO NA UWEKEZAJI Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud…
Caserta IN CAMPANIA | NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI ATEMBELEA WADAU WA UFUGAJI ITALY
WU®Media | Na Kagutta NM Mchango wa Diaspora katika Diplomasia ya uchumi | Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Italia (IN CAMPANIA) wapokea ugeni mzito Dkt. Edwin Paul Mhede Naibu Katibu…
BALOZI MACOCHA BALOZI MACOCHA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA SINGAPORE
Singapore Balozi wa Tanzania nchini Singapore mwenye makazi yake nchini Indonesia, Mhe. Macocha Tembele amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Singapore, Mhe. Tharman Shanmugaratnam katika hafla iliyofanyika Ikulu ya…
TANZANIA YAIPONGEZA CHINA IKIADHIMISHA MIAKA 76 YA KUANZISHWA KWAKE
Dar Es Salaam TANZANIA Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa saalam za pongezi kwa kwa Jamhuri ya Watu wa China (PRC) kwa kuadhimisha miaka 76 tangu kuanzishwa kwa taifa hilo…
MAKAMU WA RAIS DR MPANGO AHUTUBIA KIKAO CHA 80 UMOJA WA MATAIFA
New York Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania inalaani kuibuka upya kwa ukiukwaji wa sheria za kimataifa na kupelekea matumizi ya…
Waziri Kombo amwakilisha Rais Samia katika kikao cha Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika.
New York Waziri Kombo amwakilisha Rais Samia katika kikao cha Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.…
BALOZI MWAMWETA AZINDUA MAONESHO YA #MYTANZANIA ROADSHOW
Stuttgart GERMANY MAONESHO YA UTALII YA MY TANZANIA RAODSHOW YAFUNGULIWA UJERUMANI Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Mhe. Hassani Mwameta amezindua Maonesho ya My Tanzania Roadshow katika Mji wa Stuttgart ambapo…
DR MPANGO AFUNGUA JUKWAA LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATI YA TANZANIA NA AMERICA
New York Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania ipo tayari kufanya kazi kwa karibu na jumuiya ya wafanyabiashara wa Marekani pamoja…
Diaspora | Ms. EVA NANGELA MGENI RASMI UFUNGUZI WA BALL LAUNCH HSA GYMKHANA DAR ES SALAAM
Gymkhana basketball court Ms. Eva Nangela amefungua rasmi michezo ya mpira wa kikapu inayodhaminiwa na HSA Apparel. Ufunguzi huo umefanyika katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar Es Salaam Ms. Eva…
WAZIRI KOMBO AWASILI NCHINI UINGEREZA KWA ZIARA RASMI
WU®Media Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahamoud Thabit Kombo, amewasili nchini Uingereza kwa ziara rasmi inayotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 8 hadi 12 Septemba,…
TANZANIA YAUNGA MKONO UHURU WA CHAKULA KATIKA MKUTANO WA UNFSS+4 JIJINI ADDIS ABABA
WU® Media | Addis Ababa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa ngazi ya…
MWENYEKITI WA AUC AKUTANA NA BALOZI MULAMULA
#WUNews Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf amefanya mazungumzo kwa mara ya kwanza na Mjumbe Maalum wa AU wa Masuala ya Wanawake, Amani na…
WAZIRI KOMBO AWASILI NCHINI SINGAPORE KWA ZIARA YA KIKAZI
WU®Media Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahamoud Thabit Kombo (Mb) amewasili nchini Singapore kwa ziara ya kikazi inayotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 25 -29…
BALOZI WA TANZANIA NCHINI SWEDEN MHE. MOBHARE MATINYI AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA SWEDEN
Stockholm SWEDEN Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Balozi Mobhare Matinyi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sweden, Mhe. Maria Malmer Stenergard, katika ofisi za…
JAPAN KUWAJENGEA UWEZO VIJANA WA TANZANIA KATIKA SEKTA YA UJENZI
Yokohama JAPAN Tanzania na Japan zimesaini Hati ya Makubaliano ya ushirikiano (MoU) katika uendelezaji wa rasilimali watu katika sekta ya ujenzi. Uwekaji saini wa MoU hiyo umefanywa na Waziri wa…
KILIMANJARO YA SWEDEN YATWAA UBINGWA WA BONANZA LA SERENGETI NCHINI UBELGIJI
WU® Media Timu ya soka ya Watanzania iitwayo Kilimanjaro kutoka Sweden imetwaa tena kwa mara ya nne mfululizo ubingwa wa kombe la Bonanza la Serengeti katika michuano iliyofanyika tarehe 15-16…
WAZIRI KOMBO AWASILI JIJINI YOKOHAMA (JAPAN) KUSHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA TICAD 9
WU®Media Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Yokohama, Japan kumwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri…
DIASPORA WAHIMIZWA KUDUMISHA UPENDO NA USHIRIKIANO NJE YA NCHI
WU®Media Antwerp Belgium Mkurugenzi wa Kitengo cha Diaspora na Fursa, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Salvator Mbilinyi, ametoa wito kwa Watanzania wanaoishi nje ya…
BARAZA LA MAWAZIRI LA SADC LAHITIMISHA KIKAO CHAKE JIJINI ANTANANARIVO
ANTANANARIVO Kikao cha Kawaida cha Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambacho ni maandalizi ya Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa…
SADC NA MAREKANI KUANZISHA JUKWAA LA MAJADILIANO
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki kikao cha awali cha maafisa waandamizi cha Jukwaa…
UKOMBOZI WA KIUCHUMI NI SAFARI NDEFU, SADC YAKUMBUSHWA
Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimekumbushwa kuwa ukombozi wa kiuchumi ni safari ndefu na ili kuifikia nchi hizo zinahitaji mtangamano wenye nguvu na usioyumbishwa katika utekelezaji…
WAWEKEZAJI WAIPONGEZA ASA.
WU®Media Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Wakala wa Mbegu za kilimo ASA Dkt.Justin H. Ringo na baadhi ya maafisa wa ASA wakiwa na wawekezaji wa kilimo kutoka Nchini Italia wakiangalia vipando…
UMOJA NA MSHIKAMANO NI SILAHA YA MTANGAMANO IMARA WA SADC
WU®Media Umoja na mshikamano imeelezwa kuwa ni silaha pekee ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ya kuimarisha mtangamano imara na wenye nguvu, utakaowezesha kufikia malengo…
MKUTANO WA 45 WA WAKUU WA NCHI WA SADC WAANZA MADAGASCAR
MKUTANO WA 45 WA WAKUU WA NCHI WA SADC WAANZA MADAGASCAR NA KIKAO CHA KUJADILI MPANGO WA MAENDELEO Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo…
Tanzania and Russia Launch $1.2 Billion Uranium Project
WU®Media Tanzania has officially launched a $1.2 billion uranium mining and processing project in partnership with Russia’s state-owned nuclear energy giant, Rosatom. It is one of the largest foreign investments…
Balozi Shaibu Mussa ampokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus Mhe. Constantinos Kombos
Balozi Shaibu Mussa ampokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus Mhe. Constantinos Kombos Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashaririki Mhe. Balozi…
Dar Es Salaam: KONGAMANO LA DIPLOMASIA YA AFYA
Waziri Kombo ashiriki Kongamano la Diplomasia ya Afya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki Kongamano kuhusu Kukuza Huduma za Afya…
ITALIA| MAADHIMISHO YA SIKU YA KISWAHILI DUNIANI
Na Kagutta N.M Ubalozi wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Roma washiriki kuandaa mdahalo wa siku ya kiswahili duniani Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchi Italia umeshiriki…
SERIKALI YAWAREJESHA WATANZANIA 42 KUTOKA NCHINI IRAN NA ISRAEL.
KUFUATIA HALI YA MAPIGANO KATI YA IRAN NA ISRAEL Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanikiwa kuwarejesha salama nchini Watanzania 42 kutoka nchini Israel na Iran kufuatia vita vilivyokuwa…
ROME: UBALOZI WA TANZANIA WAENDESHA ZOEZI LA UANDIKISHAJI DIASPORA KIDIJITALI
Na Kagutta N.M Zoezi laendeshwa kwa kwa siku mbili Ubalozi wa Tanzania nchini Italy umeendesha zoezi la uandikishaji Diaspora wa Tanzania kwenye mtandao wa Diaspora Digital Hub. Serikali ya Tanzania…
AMBASSADOR MATINYI PRESENTS HIS CREDENTIALS TO THE KING OF SWEDEN
WU®Media The Ambassador of the United Republic of Tanzania to the Kingdom of Sweden, His Excellency Mobhare Matinyi, presented his Letters of Credence to His Majesty King Carl XVI Gustaf…
WAZIRI KOMBO AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA WARATIBU WA UTEKELEZAJI WA MAAZIMIO YA FOCAC
WU®Media Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Waratibu wa Utekelezaji wa Maazimio ya…
Waziri Kombo Ziarani Nchini China
WU®Media Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili Beijing, China tarehe 9 Juni, 2025 kwa ziara ya kikazi na kupokelewa…
Dr. Mpango ahutubia Mkutano wa Tatu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Bahari (UNOC3)
Nice FRANCE WU®Media Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Mataifa kuhakikisha kunakuwa na hatua za pamoja, mshikamano wa kimataifa, na…
KAMANDA RAS MAKUNJA KUTUNIKIWA TUZO YA “Ambassodor of African Culture” NCHINI UJERUMANI
Germany Mwanamuziki Ebrahim Makunja kutunukiwa Award ya “Ambassador of African Culture” tuzo hiyo inayotolewa na Africa We want organisation la ujerumani linautambua mchango wa mwanamuziki huyo mtanzania kiongozi na mwanzilishi…
WAZIRI KOMBO ANADI FURSA ZA UWEKEZAJI ZA TANZANIA NCHINI KOSOVO
Economic Diplomacy Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewakaribisha wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Kosovo kuja kuwekeza nchini katika maeno matano ya…
TANZANIA YATOA RAI KWA JUMUIYA YA KIMATAIFA KUDHIBITI VYANZO VIKUU VYA MIGOGORO DUNIANI
Prishtina KOSOVO Tanzania imetoa rai kwa Jumuiya ya Kimataifa kuweka mikakati madhubuti ikiwemo kuwashirikisha wanawake katika masuala ya amani na usalama ili kudhibiti migogoro ambayo vyanzo vyake vikuu ni ukabila,…
The Tanzanian SGR forms the Southern corridor of the East African Railway Master Plan
The Tanzanian SGR forms the Southern corridor of the East African Railway Master Plan.It aims to connect Uvinza Tanzania to Gitega Burundi and also Isaka, Tanzania, to Kigali, Rwanda and…
CCM DIASPORA WATEMBELEA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WU®Media Dodoma Tanzania Watanzania wanaoishi nje yaani ughaibuni maarufu kama Diaspora, leo Jumatatu 2/06/2025 wametembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata mualiko maalumu. Diaspora hao ambao…
WAZIRI KOMBO AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA RAIS WA KOSOVO
Prishtina KOSOVO Rais wa Jamhuri ya Kosovo, Mhe. Dkt. Vjosa Osmani Sadriu amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit…
WAZIRI KOMBO AWASILI KOSOVO KWA ZIARA RASMI
PRISHTINA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasili jijini Prishtina nchini Kosovo kwa ajili ya kuanza ziara rasmi pamoja na kushiriki…
CCM DIASPORA WAHUDHURIA MKUTANO MKUU MAALUMU
Na Kagutta Maulidi Mkutano Mkuu maalumu wa Chama cha Mapinduzi 2025 Mkutano mkuu Maalumu wa chama cha mapinduzi ulioanza tarehe 29/05/2025 na kuhitimishwa tarehe 30/05/2025 siku ya Ijumaa katika ukumbi…
AFRICAN DAY LECTURE |AFRIKA TUUNGANISHE UMOJA WA KIUCHUMI “WAZIRI KOMBO”
Dar Es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo(Mb.), ameshiriki katika Mhadhara wa Siku ya Afrika(African Day Lecture) uliofanyika jijini Dar es…
Balozi Mwamweta awasilisha salamu za Rais Samia kwa Papa Leo XIV
VATICAN Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Vatican mwenye makazi jijini Berlin, Ujerumani, Mhe. Hassani Iddi Mwamweta, amewasilisha salamu za pongezi na kheri za Rais wa Jamhuri ya Muungano…
WAZIRI KOMBO AWASILI GENEVA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amewasili Geneva katika kampeni ya kusaka kura za mgombea wa Tanzania Prof. Mohammed Janabi katika…
TANZANIA NA FINLAND ZAJIDHATITI KUSHIRIKIANA KATIKA BIASHARA NA UWEKEZAJI
Dar Es Salaam TANZANIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo(Mb.), amesisitiza dhamira ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea kuimarisha…
WAZIRI WA ULINZI DKT STERGOMENA TAX AWASILI UJERUMANI KUHUDHURI MKUTANO WA MAWAZIRI WA ULINZI
Berlin GERMANY Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb), Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ametembelea Ubalozi wa Tanzania Berlin, Ujerumani na kupokelewa…
WAZIRI KOMBO AWASILI NCHINI UGANDA
Kampala UGANDA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mjumbe maalum, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Kampala Uganda na kupokelewa na Balozi wa Jamhuri…
CAPTAIN TROARÉ azungumza na Wanafunzi wa Kiafrika nchini Urusi:
Moscow “Hatuko hapa kuomba usaidizi wa kifedha au nafasi za masomo kwa masomo nje ya nchi”. “Hatuko hapa kuomba usaidizi wa kifedha au nafasi za udhamini wa masomo nje ya…
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA MHE. RAIS DKT. SAMIA KWENYE MKUTANO WA MAAFISA WATENDAJI WAKUU BARANI AFRIKA.
Abijan IVORY COAST Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb.) amewasili nchini Ivory Coast kumwakilisha Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa Siku mbili wa Maafisa Watendaji Wakuu wa…
BALOZI MBELWA KAIRUKI AISHUKURU KAMPUNI YA JUSTFITTZ KWA KUDHAMINI SWAHILI UK FOOTBALL BONANZA
UK Balozi Mbelwa atoa shukrani za dhati kwa Kampuni ya @JustFittz ya jijini Dar es Salaam kwa kudhamini mashindano ya Swahili UK Football Bonanza yatakayofanyika katika mji wa Leeds tarehe…
WAZIRI KOMBO AKUTANA NA WAHARIRI KUELEZA MWELEKEO MPYA WA SERA YA NJE
Dar Es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amefanya mkutano maalum na wamiliki pamoja na wahariri wa vyombo vya habari…
RAIS WA MSUMBIJI AWASILI TANZANIA
Dar Es Salaam , TANZANIA Rais Samia ampokea Rais Chapo Ikulu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemkaribisha mgeni wake, Rais wa Jamhuri ya…
TANZANIA YASHIRIKI KIKAMILIFU MKUTANO WA MAZINGIRA DUNIANI NCHINI DENMARK
Ubalozi wa Tanzania nchini Sweden umeratibu ushiriki wa ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Mawaziri wa Mazingira duniani unaofanyika tarehe kuanzia leo tarehe 7 hadi 8 Mei, 2025, jijini Copenhagen…
TANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA MACFRUT 2025
WU®MEDIA Rimini Italy Na Kagutta N.Maulidi Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Italy umeongoza wadau wa sekta ya kilimo na biashara kwenye maonesho makubwa ya kibishara ya na…
RAIS MSTAAFU AKUTANA NA NAIBU KATIBU MKUU UMOJA WA MATAIFA
New York Mhe Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mhe Amina Mohammed Ofisini kwake Katika Makao Makuu wa Umoja wa…
TANZANIA YANADI FURSA ZA BIASHARA NA WAWEKEZAJI VIETNAM
Hanoi VIETNAM Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi na Biashara ya Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushrikiano wa Afrika Mashariki Balozi John Ulanga ameongoza ujumbe wa…
WAZIRI KOMBO ASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA KITAIFA YA VIETNAM
Hanoi VIETNAM Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo ameshiriki maadhimisho ya Siku ya Kitaifa ya miaka 50 ya Muungano wa Jamhuri…
SEKTA BINAFSI TANZANIA-VIETNAM ZAKUBALIANA KUSHIRIKIANA
Hanoi Vietnam Tanzania na Vietnam zimekubaliana kuanzisha ushirikiano wa sekta binafsi ili kuchagiza kasi ya ukuaji wa biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa kwenye mazungumzo…


































































































