MSIBA DIASPORA
Hassan Ng’anzo afariki kwa ajali ya gari akiwa Tanzania Mitandao ya wana diaspora duniani imegubikwa na huzuni mkubwa baada ya kuondokewa na kiungo muhimu veterani wa Diaspora. Hassan Ng’anzo ni…
Hassan Ng’anzo afariki kwa ajali ya gari akiwa Tanzania Mitandao ya wana diaspora duniani imegubikwa na huzuni mkubwa baada ya kuondokewa na kiungo muhimu veterani wa Diaspora. Hassan Ng’anzo ni…
London UK Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba Kabudi, amewasili jijini London, Uingereza kushiriki Kikao cha 72 cha Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya Madola (CMAG)…
ARUSHA TANZANIA Mkutano Maalumu wa 59 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umefanyika leo tarehe 5 Machi 2026 jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya…
WU®MEDIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amepokea rasmi nakala ya Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Hungary…
Brussel BELGIUM Tanzania Yaongeza Ushirikiano wa Kimkakati na Umoja wa Ulaya katika Mwelekeo Mpya wa Diplomasia Inayozingatia Matokeo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati…
London UK #Economicdiplomacy London, Uingereza — Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), amewahakikishia wawekezaji wa Uingereza kwamba Tanzania ni nchi salama, yenye…
WU®MEDIA Kampuni binafsi za Lifestyle Safaris & Holidays na Lifetime Safaris za Tanzania nazo zinashiriki katika maonesho hayo zikiwa na timu ya Ubalozi wa Tanzania. Nchi zingine za Afrika zinazoshiriki…
WU®MEDIA Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) ameweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa Jengo la mafunzo kwa watumishi wa Umma…
WAZIRI KOMBO AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO WA PILI WA JUKWAA LA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA AFRIKA NA RUSSIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…
WU®MEDIA In a powerful endorsement of Tanzania’s stabilizing role on the world stage, United Nations Secretary-General António Guterres has reaffirmed the nation as a “global reference point for peace and…
Tanzania ilikuwa mbele ya Muda Anaandika Dr. Yahya Msangi . Miaka mitatu iliyopita wakati Balozi #Mulamula kakalia Kiti Cha Waziri wa Mambo ya Nje kulizuka vuguvugu kubwa miongoni mwa diaspora.…
NIDA Yawafuata Diaspora Na Alphani Mlacha-NIDA Katika kutekeleza majukumu yake ya utambuzi na usajili, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) haijawasahau Watanzania Wanaoishi Nje ya Nchi (Diaspora). Hii ni kwa…
Dar Es Salaam Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, leo Alkhamisi tarehe 4 Disemba amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wa Nchi Wanachama…
Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya India kwa misaada ambayo imekuwa ikichangia maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini.…
Na. Mwandishi Wetu,Dar es Salaam.Serikali ya Tanzania imeweka wazi Mpango wake wa kutotoa Uraia kwa Wakimbizi wanaoishi katika kambi za Wakimbizi zilizopo hapa nchini huku ikiwataka wakimbizi hao kuwa tayari…
WU®MEDIA Na Mwandishi Wetu- Algeria Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na wadau mbalimbali wa uzalishaji wa dawa na teknoloajia mbalimbali za afya ambapo wengi wao…
Dar Es Salaam TANZANIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amekutana na kuzungumza na Jumuiya ya Wanadiplomasia wanaowakilisha nchi na…
WU®MEDIA Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Korea zimefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi kupitia Jukwaa la Biashara la Tanzania–Korea (Tanzania–Korea Business Forum) lililowakutanisha wadau wa uwekezaji…
Nairobi KENYA Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeshiriki Mkutano wa 47 wa Baraza la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Afrika Mashariki (SCTIFI) na Mkutano wa Dharura Pili…
Luanda Angola Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Quatro de Fevereiro, Jijini Luanda nchini Angola…
Kwa Nini Ripoti ya CNN Kuhusu Tanzania Haistahili Kuaminiwa?” Kama mwandishi wa Habari na mchambuzi wa masuala ya Dini, siasa na jamii Nimeisikiliza Ripoti ya CNN kuhusu kile kilichotokea Tanzania…
Dodoma Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) wamepokelewa katika Ofisi za Wizara zilizoko Mji wa Serikali Mtumba baada ya kuapishwa…
Balozi Kombo aendelea na nafasi ya Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 17/11/2025 akiwa ikulu ya Chamwino…
KINSHASA DRC Wito wa amani, usalama na maendeleo kama ilivyosadifu kaulimbiu ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), ulitawala kwenye hotuba…
Dodoma TANZANIA Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kura 369 baada ya kuteuliwa…
01/11/2025 ‘Uchaguzi umeisha tusimame pamoja kama Taifa’ – Hotuba ya Kwanza ya Samia Suluhu Rais Samia Suluhu Hassan akabidhiwa cheti cha ushindi wa uchaguzi wa 2025 na Tume Huru ya…
DK. MWINYI AAPISHWA RASMI KUWA RAIS WA ZANZIBAR Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi ameapishwa rasmi leo Tarehe 01 Novemba, 2025 kuwa rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika…
WU®Media| Dar Es Salaam WAZIRI KOMBO AKUTANA NA MABALOZI WA NORDIC KUIMARISHA USHIRIKIANO WA MAENDELEO NA UWEKEZAJI Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud…
WU®Media | Na Kagutta NM Mchango wa Diaspora katika Diplomasia ya uchumi | Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Italia (IN CAMPANIA) wapokea ugeni mzito Dkt. Edwin Paul Mhede Naibu Katibu…
Singapore Balozi wa Tanzania nchini Singapore mwenye makazi yake nchini Indonesia, Mhe. Macocha Tembele amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Singapore, Mhe. Tharman Shanmugaratnam katika hafla iliyofanyika Ikulu ya…
Dar Es Salaam TANZANIA Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa saalam za pongezi kwa kwa Jamhuri ya Watu wa China (PRC) kwa kuadhimisha miaka 76 tangu kuanzishwa kwa taifa hilo…
New York Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania inalaani kuibuka upya kwa ukiukwaji wa sheria za kimataifa na kupelekea matumizi ya…
New York Waziri Kombo amwakilisha Rais Samia katika kikao cha Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.…
Stuttgart GERMANY MAONESHO YA UTALII YA MY TANZANIA RAODSHOW YAFUNGULIWA UJERUMANI Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Mhe. Hassani Mwameta amezindua Maonesho ya My Tanzania Roadshow katika Mji wa Stuttgart ambapo…
New York Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania ipo tayari kufanya kazi kwa karibu na jumuiya ya wafanyabiashara wa Marekani pamoja…
Gymkhana basketball court Ms. Eva Nangela amefungua rasmi michezo ya mpira wa kikapu inayodhaminiwa na HSA Apparel. Ufunguzi huo umefanyika katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar Es Salaam Ms. Eva…
WU®Media Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahamoud Thabit Kombo, amewasili nchini Uingereza kwa ziara rasmi inayotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 8 hadi 12 Septemba,…
WU® Media | Addis Ababa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa ngazi ya…
#WUNews Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf amefanya mazungumzo kwa mara ya kwanza na Mjumbe Maalum wa AU wa Masuala ya Wanawake, Amani na…
WU®Media Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahamoud Thabit Kombo (Mb) amewasili nchini Singapore kwa ziara ya kikazi inayotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 25 -29…
Stockholm SWEDEN Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Balozi Mobhare Matinyi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sweden, Mhe. Maria Malmer Stenergard, katika ofisi za…
Yokohama JAPAN Tanzania na Japan zimesaini Hati ya Makubaliano ya ushirikiano (MoU) katika uendelezaji wa rasilimali watu katika sekta ya ujenzi. Uwekaji saini wa MoU hiyo umefanywa na Waziri wa…
WU® Media Timu ya soka ya Watanzania iitwayo Kilimanjaro kutoka Sweden imetwaa tena kwa mara ya nne mfululizo ubingwa wa kombe la Bonanza la Serengeti katika michuano iliyofanyika tarehe 15-16…
WU®Media Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Yokohama, Japan kumwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri…
WU®Media Antwerp Belgium Mkurugenzi wa Kitengo cha Diaspora na Fursa, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Salvator Mbilinyi, ametoa wito kwa Watanzania wanaoishi nje ya…
ANTANANARIVO Kikao cha Kawaida cha Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambacho ni maandalizi ya Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki kikao cha awali cha maafisa waandamizi cha Jukwaa…
Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimekumbushwa kuwa ukombozi wa kiuchumi ni safari ndefu na ili kuifikia nchi hizo zinahitaji mtangamano wenye nguvu na usioyumbishwa katika utekelezaji…
WU®Media Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Wakala wa Mbegu za kilimo ASA Dkt.Justin H. Ringo na baadhi ya maafisa wa ASA wakiwa na wawekezaji wa kilimo kutoka Nchini Italia wakiangalia vipando…
WU®Media Umoja na mshikamano imeelezwa kuwa ni silaha pekee ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ya kuimarisha mtangamano imara na wenye nguvu, utakaowezesha kufikia malengo…
MKUTANO WA 45 WA WAKUU WA NCHI WA SADC WAANZA MADAGASCAR NA KIKAO CHA KUJADILI MPANGO WA MAENDELEO Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo…
WU®Media Tanzania has officially launched a $1.2 billion uranium mining and processing project in partnership with Russia’s state-owned nuclear energy giant, Rosatom. It is one of the largest foreign investments…
Balozi Shaibu Mussa ampokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus Mhe. Constantinos Kombos Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashaririki Mhe. Balozi…
Waziri Kombo ashiriki Kongamano la Diplomasia ya Afya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki Kongamano kuhusu Kukuza Huduma za Afya…
Na Kagutta N.M Ubalozi wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Roma washiriki kuandaa mdahalo wa siku ya kiswahili duniani Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchi Italia umeshiriki…
KUFUATIA HALI YA MAPIGANO KATI YA IRAN NA ISRAEL Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanikiwa kuwarejesha salama nchini Watanzania 42 kutoka nchini Israel na Iran kufuatia vita vilivyokuwa…
Na Kagutta N.M Zoezi laendeshwa kwa kwa siku mbili Ubalozi wa Tanzania nchini Italy umeendesha zoezi la uandikishaji Diaspora wa Tanzania kwenye mtandao wa Diaspora Digital Hub. Serikali ya Tanzania…
WU®Media The Ambassador of the United Republic of Tanzania to the Kingdom of Sweden, His Excellency Mobhare Matinyi, presented his Letters of Credence to His Majesty King Carl XVI Gustaf…
WU®Media Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Waratibu wa Utekelezaji wa Maazimio ya…
WU®Media Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili Beijing, China tarehe 9 Juni, 2025 kwa ziara ya kikazi na kupokelewa…
Nice FRANCE WU®Media Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Mataifa kuhakikisha kunakuwa na hatua za pamoja, mshikamano wa kimataifa, na…
Germany Mwanamuziki Ebrahim Makunja kutunukiwa Award ya “Ambassador of African Culture” tuzo hiyo inayotolewa na Africa We want organisation la ujerumani linautambua mchango wa mwanamuziki huyo mtanzania kiongozi na mwanzilishi…
Economic Diplomacy Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewakaribisha wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Kosovo kuja kuwekeza nchini katika maeno matano ya…
Prishtina KOSOVO Tanzania imetoa rai kwa Jumuiya ya Kimataifa kuweka mikakati madhubuti ikiwemo kuwashirikisha wanawake katika masuala ya amani na usalama ili kudhibiti migogoro ambayo vyanzo vyake vikuu ni ukabila,…
The Tanzanian SGR forms the Southern corridor of the East African Railway Master Plan.It aims to connect Uvinza Tanzania to Gitega Burundi and also Isaka, Tanzania, to Kigali, Rwanda and…
WU®Media Dodoma Tanzania Watanzania wanaoishi nje yaani ughaibuni maarufu kama Diaspora, leo Jumatatu 2/06/2025 wametembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata mualiko maalumu. Diaspora hao ambao…
Prishtina KOSOVO Rais wa Jamhuri ya Kosovo, Mhe. Dkt. Vjosa Osmani Sadriu amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit…
PRISHTINA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasili jijini Prishtina nchini Kosovo kwa ajili ya kuanza ziara rasmi pamoja na kushiriki…
Na Kagutta Maulidi Mkutano Mkuu maalumu wa Chama cha Mapinduzi 2025 Mkutano mkuu Maalumu wa chama cha mapinduzi ulioanza tarehe 29/05/2025 na kuhitimishwa tarehe 30/05/2025 siku ya Ijumaa katika ukumbi…
Dar Es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo(Mb.), ameshiriki katika Mhadhara wa Siku ya Afrika(African Day Lecture) uliofanyika jijini Dar es…
VATICAN Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Vatican mwenye makazi jijini Berlin, Ujerumani, Mhe. Hassani Iddi Mwamweta, amewasilisha salamu za pongezi na kheri za Rais wa Jamhuri ya Muungano…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amewasili Geneva katika kampeni ya kusaka kura za mgombea wa Tanzania Prof. Mohammed Janabi katika…
Dar Es Salaam TANZANIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo(Mb.), amesisitiza dhamira ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea kuimarisha…
Berlin GERMANY Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb), Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ametembelea Ubalozi wa Tanzania Berlin, Ujerumani na kupokelewa…
Kampala UGANDA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mjumbe maalum, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Kampala Uganda na kupokelewa na Balozi wa Jamhuri…
Moscow “Hatuko hapa kuomba usaidizi wa kifedha au nafasi za masomo kwa masomo nje ya nchi”. “Hatuko hapa kuomba usaidizi wa kifedha au nafasi za udhamini wa masomo nje ya…
Abijan IVORY COAST Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb.) amewasili nchini Ivory Coast kumwakilisha Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa Siku mbili wa Maafisa Watendaji Wakuu wa…
UK Balozi Mbelwa atoa shukrani za dhati kwa Kampuni ya @JustFittz ya jijini Dar es Salaam kwa kudhamini mashindano ya Swahili UK Football Bonanza yatakayofanyika katika mji wa Leeds tarehe…
Dar Es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amefanya mkutano maalum na wamiliki pamoja na wahariri wa vyombo vya habari…
Dar Es Salaam , TANZANIA Rais Samia ampokea Rais Chapo Ikulu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemkaribisha mgeni wake, Rais wa Jamhuri ya…
Ubalozi wa Tanzania nchini Sweden umeratibu ushiriki wa ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Mawaziri wa Mazingira duniani unaofanyika tarehe kuanzia leo tarehe 7 hadi 8 Mei, 2025, jijini Copenhagen…
WU®MEDIA Rimini Italy Na Kagutta N.Maulidi Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Italy umeongoza wadau wa sekta ya kilimo na biashara kwenye maonesho makubwa ya kibishara ya na…
New York Mhe Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mhe Amina Mohammed Ofisini kwake Katika Makao Makuu wa Umoja wa…
Hanoi VIETNAM Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi na Biashara ya Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushrikiano wa Afrika Mashariki Balozi John Ulanga ameongoza ujumbe wa…
Hanoi VIETNAM Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo ameshiriki maadhimisho ya Siku ya Kitaifa ya miaka 50 ya Muungano wa Jamhuri…
Hanoi Vietnam Tanzania na Vietnam zimekubaliana kuanzisha ushirikiano wa sekta binafsi ili kuchagiza kasi ya ukuaji wa biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa kwenye mazungumzo…
Hanoi VIETNAM Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kijamaa ya VietNam zimeafikiana kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano wa kiuchumi na kijamii ikiwa ni juhudi za kukuza maendeleo ya…
Hanoi VIETNAM Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Hanoi, Vietnam kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia…
Vatican Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema namna bora ya kumuenzi aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani hayati. Baba Mtakatifu Francisko…
Vatican Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isidori Mpango amewasili katika Viwanja vya Santa Pedro, Vatican tayari kwa kushiriki maadhimisho ya Misa ya Mazishi…
Vatican (Photo) | Mhe. Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Philip Isidor Mpango akiwa pamoja na Mhe. Rais wa Finland, Aleksander Stubb katika Mazishi ya Baba Mtakatifu ambapo…
WAZIRI KOMBO AMPOKEA MAKAMU WA RAIS DKT. MAPANGO JIJINI ROMA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amempokea Makama wa Rais wa…
Roma, Italia Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili Jijini Roma nchini Italia ambapo anatarajia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Sweden, Bi.…
Rais wa Jamhuri ya Finland Alexander Stubb na mke wake Suzanne Innes-Stubb wanatarajiwa kufanya ziara ya kiserikali Mei 14 – 15 nchini Tanzania Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ubalozi…
Angola, April 25, 2025 In a momentous achievement for Tanzanian diplomacy and regional cooperation, Tanzanian Dr. Deo Mwapinga has been appointed as the new Secretary General of the Forum of…
Dar Es Salaam TANZANIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameshiriki katika hafla ya maadhimisho ya Siku ya kuzaliwa kwa Mfalme…
Dodoma TANZANIA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi na hatua za Mpito…
Dar Es Salaam TANZANIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesaini kitabu cha maombelezo katika Ofisi za Ubalozi wa Vatican nchini zilizopo…
Boston Mwanariadha nguli wa Tanzania, Alphonce Felix Simbu ameendelea kung’ara kwenye anga za kimataifa baada ya kushika nafasi ya pili kwenye mbio za Boston Marathon zilizofanyika leo Jumatatu Aprili 21,…