Tanzania, Serbia Kuimarisha Diplomasia ya Uchumi, Kupanua Fursa
Belgrade Tanzania na Serbia zimekubaliana kuanzisha Tume ya Pamoja ya Uchumi kwa lengo la kukuza biashara, uwekezaji na ushirikiano wa kiuchumi kati ya nchi hizo. Makubaliano hayo yamefikiwa wakati wa…


































































































