
Read Time:19 Second
Rais wa Jamhuri ya Finland Alexander Stubb na mke wake Suzanne Innes-Stubb wanatarajiwa kufanya ziara ya kiserikali Mei 14 – 15 nchini Tanzania
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ubalozi wa Finland nchini rais Alexander Stubb na mwenzi wake Suzanne Innes-Stubb akiwa nchini pamoja na mambo mengine kupitia ziara hiyo itasherekea miaka 60 ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya Finland na Tanzania.