Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan awakumbuka Lumumba na Nyerere
Moscow, Urusi RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan amesifu mchango wa Chuo Kikuu cha Urafiki cha Watu wa Urusi (RUDN) katika ukombozi wa nchi za Afrika akisema kimesadifu maono ya viongozi…










