0 0
Read Time:24 Second

Luanda Angola

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Quatro de Fevereiro, Jijini Luanda nchini Angola leo tarehe 23 Novemba 2025. Makamu wa Rais, anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 7 wa Kilele wa Viongozi wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya (AU-EU Summit), utakaofanyika tarehe 24 na 25 Novemba 2025 Jijini Luanda.

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %