0 0
Read Time:30 Second

Roma, Italia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili Jijini Roma nchini Italia ambapo anatarajia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Ibada ya Mazishi ya Baba Mtakatifu Francisko itakayofanyika Vatican tarehe 26 Aprili 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr.Phillip Mpango akiwasili Rome akiongoza na Mh.Balozi Hassan Mwamweta ambae Vatican ni sehemu ya uwakilishi wake ingawa makao yake ni Berlin Germany
Makamu wa Rais akipokewa na kusalimiwa na kaimu mkuu wa Kituo Ubalozi wa Tanzania Rome HOC. Eva Kalua
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %