0 0
Read Time:25 Second

Mheshimiwa Balozi  Mbundi, tarehe 15 Januari, 2021, aliongoza majadiliano baina ya Poland na Tanzania.
Mjadiliano hayo yaliyolenga kuimarisha ushirikiano hususan katika masuala ya biashara na  uwekezaji. Kwa upande wa Tanzania washiriki walikuwa ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Kilimo; Mjumbe kutoka Wizara ya Fedha na Mipango; Watendaji wa NFRA; na Watendaji wa TBA.Kwa upande wa Poland, walioshiriki ni pamoja na  Mheshimiwa Krzysztof Buzalski Balozi wa Poland nchini Tanzania na Wawakilishi wa makampuni kutoka Poland ya Feerum S.A na Unia Spzo.o.

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %