0 0
Read Time:51 Second
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (Kulia) mara baada ya kulihutubia Bunge leo Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (Katikati)akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mara baada ya kulihutubia Bunge leo Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma. Wa pili kushoti ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi, wa pili kushoti ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wa kwanza Kushoto ni Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango na wa kwanza kulia ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt Hussein Mwinyi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (wa tatu kulia walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Ulinzi na Usalama mara baada ya kulihutubia Bunge leo Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma.
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %