Kwa uwezo wa Allah na ushirikiano wa hali ya juu uliopo kati yetu (watanzania wa ugiriki) tumeweza kufanikisha mchango wa kumsafirisha mwenzetu SAIDI HASSAN MGOI (Maarufu kwa jina la CHANCE) ili akazikwe nyumbani. Mwili wa Marehemu utawasili Dar J’mosi13/08 saa NANE NA NUSU USIKU kwa ndege ya shirika la Uturuki.
Taarifa tulizo nazo khs maziko yatafanyika J’pili 14/8 saa saba mchana Tandika Mikoroshini kwa SANDARI ila kwa maelezo kirefu fanyeni mawasiliano na FATUMA dada yake (0718567537) au (0783694736)
Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi Amin.
KATIBU wa JUMUIYA YA WATANZANIA UGIRIKI










Mungu amlaze mahala pema peponi na azidi kuwapa moyo wa upendo na ushirikano ndugu zetu wa ugiriki