0 0
Read Time:25 Second

KWA WATANZANIA WOTE MUISHIO LONDON NA UINGEREZA

Waziri mkuu Mh Pinda kukutana na watanzania UK
Waziri mkuu mh Mizengo Pinda atakutana na watanzania waishio UK dhumuni likiwa ni kuzungumzia mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu kisiasa, kiuchumi, n.k. Pamoja na hayo pia maswala yaliyozungumzwa kwenye ziara yake ya mara ya kwanza yataelezewa.

Siku: Jumanne 16, October 2012

Mahali: Tanzania High Commission

Time: 17:00 jioni (saa kumi na moja jioni).

Inashauriwa wale wote wanaopenda kuhudhuria wajiandikishe kupitia email:

watanzaniauk@gmail.com

Wote mnakaribishwa.

WABONGO UGHAIBUNI
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %