
Read Time:13 Second
Hospitali za Tanzania kuanzisha ushirikiano na Hospitali Bingwa ya Magonjwa ya Ubongo ya TIAN TAN ya China. Kupitia ushirikiano huo Madaktari wa Tanzania wataweza kutumia teknolojia ya hospitali hiyo inayotumia “Artificial Intelligence (AI)” kupata tafsiri ya picha za CT Scan na MRI.








