1 0
Read Time:14 Second

WU® MEDIA

Balozi wa Tanzania nchini Uingereza na Jamhuri ya Ireland Mhe. Dkt. Asha-Rose Migiro amemkabidhi Balozi wa Misri nchini Uingereza Mhe. Sherif Kamel zawadi ya kitabu chenye picha za vivutio mbalimbali vya hifadhi ya Taifa ya Saadani walipokutana kwa mazungumzo 17 February,2022

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %