0 0
Read Time:19 Second

WU® Media PRODUCTION

MKUTANO MKUBWA WA UTALII DUNIANI KUFANYIKA TANZANIA

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesaini Mkataba wa Tanzania kukubali kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 65 wa Shirika la Utalii Duniani unaotarajiwa kufanyika nchini mwezi Oktoba, 2022. Mkataba huo umesainiwa jijini Madrid nchini Hispania mbele ya Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Bw. Zurab Pololikashvil.

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %