0 0
Read Time:32 Second

WU®Media PRODUCTION

WAZIRI AWAPONGEZA DIASPORA WA HUNGARY

Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Africa mashariki Mh. Mulamula ameongea kuhusu Hali ya usalama wa Watanzania nchini Ukraine kufuatia kuzuka kwa vita Kati yake na Urusi.Waziri ameuhakikishia UMMA wa Watanzania kuwa ndugu ,jamaa na wazazi wa wanafunzi na Watanzania kwa ujumla walioko Ukraine kuwa wapo salama Pamoja na changamoto za kiusalama, Serikali imekwisha fanya Mawasiliano na pande zote ili kuhakikisha Watanzania wanapata msaada na ulinzi kuweza kufika Moscow.

Waziri amewapongeza Diaspora wa Tanzania nchini Hungary kwa kuwa mstari wa mbele kutoa msaada kwa Watanzania wanaokimbia Ukraine na kuingia Hungary.

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %