
Read Time:37 Second
WU® MediaPRODUCTION LIMITED
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan amewasili Muscut Oman kwa ziara ya siku tatu. Rais amepokelewa na Mwenyekiti wake Sultan Oman Haitham bin Tariq Al Said.



WU® MediaPRODUCTION LIMITED
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan amewasili Muscut Oman kwa ziara ya siku tatu. Rais amepokelewa na Mwenyekiti wake Sultan Oman Haitham bin Tariq Al Said.


Leo ni siku ya kihistoria kwa Taifa letu. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP)…
Zanzibar Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kijamii katika maeneo ya kimkakati ikiwemo biashara na uwekezaji, kilimo, madini, nishati, usafirishaji, miundombinu, afya…







