0 0
Read Time:26 Second

Kama tunavyojua wenzetu walio safiri wameshafika Tanzania sasahivi wanalula Bata. Kwa wale watakaohitaji kurejea Tanzania naomba muwasilishe majina yenu kwenye namba ya whatsapp ama SMS +1 (802) 231-3037
Au Bonyeza Link kujisajili https://docs.google.com/document/d/12XOKq1R48MhazOk2hM0Betn3A84MkyTAAm1uVNEyEx0/edit?usp=drivesdk
.
Tafadhali andika majina yako Kamili kama yalivyo kwenye Passport ama cheti chako cha kuzaliwa.
.
Hii ni hatua ya Awali at least mkijiandikisha watu 150 na sisi tukayapeleka majina kwa Viongozi wa TACOSA basi nao itakuwa rahisi kwenda ubalozini kwaajili ya Kukamilisha Utaratibu zaidi.

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %