0 0
Read Time:18 Second

Mimi Dr Asha Migiro, balozi wenu wa Tanzania nchini Uingereza, pia ni mlezi wa Tanzania UK Healthcare Diaspora Association (TUHEDA). Napenda kuwahamasisha watanzania wenzangu pamoja na marafiki kutoa michango ya kupeleka barakoa (masks) nyumbani pamoja na vifaa vingine vya afya ili kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona. Karibuni kuchangia kupitia akaunti ya TUHEDA Appeal for Tanzania kama inavyosomeka kwenye tangazo

WABONGO UGHAIBUNI
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %