
Read Time:15 Second
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere amethibitisha kutokea kwa kifo hicho.
Mheshimiwa Makongoro amesema, Sophia ni mtoto wa kaka yake marehemu, John Nyerere.
“Sophia alikuwa na familia, hivyo tutakaa pamoja kufahamu namna mazishi yatakavyofanyika,” amesema Makongoro.









