0 0
Read Time:15 Second

WU®

DODOMA

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais – Ikulu. Kabla ya uteuzi huo, Zuhura alikuwa mtayarishaji wa vipindi na mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC.

Zuhura anachukua nafasi ya Jaffar Haniu ambaye atapangiwa kazi nyingine.

WU® TVONLINE

Updates #WU®

#Breakingnews

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %