0 0
Read Time:28 Second

W

Balozi Edwin Rutageruka Mkurugenzi wa Diplomasia ya Uchumi amefariki usiku huu wa leo saa moja katika Hospitali ya Aga Khan Dar Es Salaam ambako alikuwa amelazwa tokea jana jioni kwa ajili ya matibabu baada ya kuugua ghafla. Tumuombee Balozi Edwin Rutageruka kwa Mwenyezi Mungu ajaliwe pumziko la amani na pia tumuombe Mwenyezi Mungu awafariji familia, ndugu, marafiki nasi watumishi wenzake kwenye kipindi hiki cha huzuni kubwa. Amen.

Marehemu Balozi Edwin Rutageruka katika ghafla ya kumaliza Forum iliyofanyika katika ofisi za Ubalozi Rome Italy akiwa Pamoja na Balozi wa Tanzania Rome Mh. Mahmoud Kombo
Happy
Happy
50 %
Sad
Sad
50 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %