
WU®Media PRODUCTION
DODOMA: 1/04/2022
Chama Cha Mapinduzi CCM kimefanya Mkutano Mkuu maalumu uliofanyika Leo tarehe 1/04/2022 katika ukumbi wa Jakaya Kikwete. Katika mkutano huo Pamoja na kufanyia marekebisho vifungu kadhaa vya katiba ya Chama lakini pia alichaguliwa Comrade Abdulrahman Kinana kuwa makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM taifa Tanzania bara. Uchaguzi huo umefanyika baada ya Comred Philip Mangula kung’atuka. Ndugu Kinana alichaguliwa kwa kura zote za ndio.












