2 0
Read Time:34 Second

WU® Media PRODUCTION LIMITED

Ubalozi wa Tanzania Sweden umewakutanisha Diaspora kwa futari iliyoandaliwa na Balozi wa Tanzania Sweden Mh Grace Olotu. Wadau wamemshukuru Sana Balozi kwa maandalizi mazuri na kuwakutanisha Watanzania wote katika mwezi mtukufu wa Ramadhan..

Tunatoa Shukran za pekee kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Sweden kwa kutoa Sadaka ya Futari kwa Diaspora wote.Pia tunawashukuru Diaspora wote walioweza kufika na kushiriki Futari ya pamoja .Asanteni sana kwa kuonyesha upendo na mshikamano.” Jason Junior.

https://youtu.be/5cgJ_eHbVHM
Mh Balozi Grace Olotu akiwa na baadhi ya Watanzania waliohudhuria kwenye MUALIKO adhimu wa futari kufurahia mwezi mtukufu wa Ramadhan
Sheikh Yusuf akitoa mawaidha kabla ya mida ya futari
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %