0 0
Read Time:27 Second

WU® MediaPRODUCTION LIMITED

Na Zainabu Hamisi

Germany

WASANII,WANAMITINDO NA WAJASILIAMALI WENGI KUTOKA TANZANIA KUSHIRIKI MAONYESHO YA TUEBINGEN

Maonesho hayo ya Kimataifa yataanza tarehe 04 .08.2022 hadi tarehe 7.08.2022
Idadi kubwa ya wasanii wa fani mbalimbali,wanamitindo ya mavazi,wakiongozana na wafanyabiashara kutoka Tanzania wanatarajiwa kuwasili mjini Tuebingen kwenye maonyesho hayo ya Kimataifa.

Maonyesho ya 15 ya International Afrika Expo Festival Tubingen 2022, Ujerumani. yatafanyika kwenye viwanja vya Fest Platz ,

Watanzania wote wanakaribishwa na wanasisitizwa kubeba bendera za Tanzania ziwe ndogo au kubwa ili kupeperusha.

TANZANIA KWANZA

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %

Average Rating

5 Star
0%
4 Star
0%
3 Star
0%
2 Star
0%
1 Star
0%

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *