0 0
Read Time:40 Second

Italy – Tanzania Business and Investment Forum

WU® MEDIAPRODUCTION LIMITED

Na Mwandishi wetu, Dar Es Salaam

Waziri mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki Balozi Mulamula amepongeza uhusiano wa kidiplomasia uliopo kati ya Tanzania na Italy na kuzitaka sekta za uwekezaji nchini Tanzania na Italy kufanya kazi kwa karibu kwa manufaa ya nchi.
Hayo yamesemwa katika hafla ya kufunga Kongamano la pili la Biashara kati ya Tanzania na Italy katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar Es Salaam.

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Italy Mh. Mahamoud Thabit Kombo na Balozi mwenzie Mh. Marco Lombardi , Balozi wa Italy nchini Tanzania, wamekuwa na ushirikiano mkubwa katika masuala ya kidiplomasia na Zaidi kwenye Diplomasia ya Uchumi.

WAZIRI KIJAJI AFUNGUKA JUKWAA LA PILI LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATI YA TANZANIA NA ITALY

Read

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %