0 0
Read Time:33 Second

Na Mwandishi wetu

Johannesburg

Habari za kutatanisha na sintofahamu kubwa nchini Afrika ya Kusini kuhusu kifo Cha mtu aliyetambulika na Watanzania kuwa ni Raia wa Tanzania aliyekuwa akiishi nchini humo. Mtanzania huyo mkazi wa Johannesburg maarufu kwa jina la Abdi Sugu, alikuwa akiishi maeneo ya Fox Street Johannesburg. Kwa mujibu wa mashuhuda ni kuwa marehemu amefikwa na umauti siku ya tarehe 15/1/2023 akiwa mikononi mwa police baada ya kuvamiwa akiwa anarejea nyumbani kwake. Watanzania wamefanya maandamano kupinga mauwaji hayo na kusisitiza sheria ichukue mkondo wake dhidi ya wahusika.

Bado chanzo halisi Cha tukio Hilo la kusikitisha hakija fahamika.

Picha ni Marehemu Abdi Sugu aliyefariki nchini Afrika ya kusini
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %