0 0
Read Time:18 Second

London UK, 24-04-2023

Pembezoni mwa Mkutano wa UK-Africa Health Summit, Wizara ya Afya Zanzibar imesaini makubaliano na Barking, Havering and Redbridge University Hospitals ya ushirikiano katika sekta ya afya.

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania UK, Dr Migiro amepongeza mchango wa TUHEDA uliofanikisha makubaliano hayo. Tuheda ni Jumuiya ya Madaktari wa Watanzania wanaoishi na kufanyakazi nchini Uingereza.

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %