0 0
Read Time:15 Second

Jumla ya Dola za Kimarekani 32,000 takribani shilingi za Kitanzania milioni 70 zilikusanywa na Watanzania waishio nchini Marekani kwa ajili ya kuchangia mapambano ya Covid-19 nchini Tanzania mwaka huu.Pesa hizo zilikabidhiwa katika mikoa kadhaa kwa ajili ya kusaidia vifaa mbalimbali katika taasis za Afya nchini Tanzania

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %