0 0
Read Time:13 Second

Jana usiku tarehe 26 August Ubalozi wa Tanzania kwa kushirikiana na Precision Air na Kilimanjaro tours ya nchini hapa uliandaa safari ya ndege-repatriation flight kuleta watanzania waliokwama South Africa na wa mataifa mengine wanaokuja kufanya kazi nchini. Jumla ya abiria ilikuwa 54.

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %