
Read Time:17 Second
Viongozi wakuu wastaafu Rais Alhasan Mwinyi na Jakaya Kikwete wameongozana na Mawaziri Wakuu wastaafu Mhe. Cleopa Msuya, Mhe. John Malecela na Mhe. Mizengo Pinda leo Jumatatu Julai 05, 2021, katika ziara ya kutembelea utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa kufua umeme kwa maji wa Julius Nyerere unaotekelezwa katika Bonde la mto Rufiji.














