
Read Time:13 Second
Rest in Peace
Habari zilizo tufikia kutoka Dubai zinasema,
Baharia wa kitanzania amefariki kwa kuanguka ghafla akiwa kazini nchini Dubai tarehe 7/7/2021
Marehemu anaitwa Ahmed Liganduka, anatokea Goms, yaani (GONGO LA MBOTO Dar Es Salaam) alikuwa mfanyakazi wa kampuni ya Linden Shipping Co.










