0 0
Read Time:36 Second

WU®

Huenda mwimbaji wa Bongofleva kutoka WCB Wasafi, Diamond akaufunga mwaka huu kwa kishindo cha aina yake kwa sababu hadi sasa amependekezwa kuwania tuzo 18 za kimataifa.Advertisement

Huenda mwimbaji wa Bongofleva kutoka WCB Wasafi, Diamond akaufunga mwaka huu kwa kishindo cha aina yake kwa sababu hadi sasa amependekezwa kuwania tuzo 18 za kimataifa.

Mwaka huu Diamond alikuwa msanii pekee ukanda wa Afrika Mashariki kutajwa kuwania tuzo za BET 2021 katika kipengele cha Best International Act, ikiwa ni mara yake ya tatu.

Tuzo hizo kubwa duniani ambazo zilitolewa Juni 28, 2021 huko Los Angeles, Marekani, hazikumpa raha, kwani ushindi ulikwenda kwa Burna Boy wa Nigeria, ambaye aliandikisha ushindi wake wa tatu mfululizo.

Soma Zaidi MWANANCHI

By Peter Akaro

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %