
WU® MediaPRODUCTION LIMITED
Na Mwandishi wetu
ITALY
Msanii wa muziki wa kizazi kipya BONGO FLAVA HUSSEIN MACHOZI ambae kwa sasa anaishi na familia yake nchini Italy, ameachia nyimbo mpya na video yake takriban siku tatu zikizopita.

Track hiyo yenye title ya kusisimua HOI amemshirikisha nguli wa hip hop MR BLUE inafanya vizuri Sana kwa maana mapokezi yake yamekuwa makubwa mno, comment zinajieleza maana mashabiki wamempongeza kwa kurudi Tena kivingine. “Hoi Ina flava tofauti Sana na alivyo zoeleka.” Hiyo ni comment ya mshabiki nchini Italy alipoongea na WABONGO UGHAIBUNI MEDIA.
Gonga Link 🔗 kuangalia full Video