0 0
Read Time:1 Minute, 7 Second

WU® MediaPRODUCTION LIMITED

As-salaam ‘Alaykum WarahmatuLlahi Wabarakatuh,

Tunatumai wote ni wazima, biidhniLlahi Ta’ala.

Dada yetu katika jumuiya, Asha Nyang’anyi pamoja na Familia ya Baghdellah wanasikitika kutangaza kifo cha Bw Abdulhamid Kheri Baghdellah kilochotokea August 15, 2022 kwa ajali ya gari hapa Maryland.

Dada Asha anampango wa kusafirisha mwili wa Marehemu nyumbani kwa maziko

Tunaombwa tuwaweke wafiwa kwenye du’a zetu kwenye kipindi hiki kigumu, Allah Ta’ala awape subira na ampokee mja wake akiwa amemridhia.

Kwa habari zaidi kuhusu msiba wasiliana na:

Dada Jasmine Rubama
(410) 371 9966

Kaka Ali Idowa
(301) 633 1282

Tunaweza kutuma mkono wa rambirambi kupitia:

CashApp
703-232-7102
$TAMCOHAZINA

Au

Zelle
tamcousa2018@gmail.com au
703-232-7102

Inna Lillahi wa Innaa Ilayhi Raji’un
(Hakika sisi ni wa Allah (SW) na kwake ni marejeo yetu)

Al Fatiha
Salatul Fatihi

‎اللَّهُمَّ صَلِّ عَلَىٰ سَيِّدِنَا مُحَمَّدٍ ❁ الْفَاتِحِ لِمَا أُغْلِقَ ❁ وَالْخَاتِمِ لِمَا سَبَقَ ❁ نَاصِرِ الْحَقِّ بِالحَقِّ ❁ وَالْهَادِي إِلَىٰ صِرَاطِكَ الْمُسْتَقِيمِ ❁ وَعَلَىٰ آلِهِ حَقَّ قَدْرِهِ وَمِقْدَارِهِ الْعَظِيمِ

Wabillahi Tawfiq,
Wenu Uongozi – TAMCO

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %