1 0
Read Time:18 Second

Na Mwandishi wetu

Athens, Greece

Jumuiya ya Watanzania nchini Greece, wamefanya uchaguzi wa viongozi wake,ambapo Ndugu Kayu Ligopora amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo. Ndugu Kayu Lugopora ni mmoja wa Diaspora mwenye uzoefu mkubwa kwenye uongozi. Jumuiya za Watanzania ni taasisi muhimu Sana zinazosimania Maslahi mapana ya Diaspora kwenye maeneo Yao.

Mwenyekiti Jumuiya ya Watanzania Greece, Ndugu Kayu Ligopora
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %