0 0
Read Time:22 Second

London UK

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe, Dkt.Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika Mkutano wa Biashara na Uwekezaji wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth Trade & Investment Summit 2025), kwenye ukumbi wa Jiji la kihistoria Mansion House, London tarehe 7 Aprili 2025.

Mkutano huo umehudhuriwa na Viongozi mbalimbali kutoka Nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola chini ya uenyeji wa Meya wa Jiji la London, Mhe.Alderman Alastair King.

UK
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %