0 0
Read Time:19 Second

WU® MEDIA PRODUCTION

Nairobi Kenya

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo tarehe 3 Machi, 2022 akitoa salamu za Tanzania kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano maalum wa miaka hamsini ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) katika Ukumbi wa Mikutano wa Shirika hilo Jijini Nairobi, Kenya.

https://youtu.be/ihfzRw6ioSk
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %