0 0
Read Time:18 Second

Jumla ya Watanzania 59 waliowasili ubalozini leo Alfajiri kutokea Cape town wamefanikiwa kusafiri kurejea nyumbani Tanzania wakitokea Africa kusini na ndege ya shirika la #PreciousAir.
Shukrani kwa #IOM, kwa kuwezesha hii safari iwezekane. Haikua rahisi ila sote twaweza.

❗Angalizo.❗…. ❗Angalizo …❗

Kwa watanzania wanao safiri kesho tarehe 8/8/2020
hakikisha mizigo uliyobeba haitozidi Kilo 20 ili turahisishe safari yetu kwa kila mtu.

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %