
Read Time:12 Second
Ndege ya Air Tanzania (Dreamliner) tayari kuruka katika Uwanja wa Kimataifa wa Mumbai jioni hii, ikiwa imebeba watanzania 183 waliokwama India. Hii ni safari #8, ikiwa ni muendelezo wa safari za kuwarejesha watanzania waliokwama India. Bring #Tanzanianshome #MIAKAMITANOYAKAZI
- SEKTA BINAFSI TANZANIA-VIETNAM ZAKUBALIANA KUSHIRIKIANAHanoi Vietnam Tanzania na Vietnam zimekubaliana kuanzisha ushirikiano wa sekta binafsi ili kuchagiza kasi ya ukuaji wa biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa kwenye mazungumzo…
- TANZANIA NA VIETNAM KUFUNGUA MAENEO MAPYA YA USHIRIKIANOHanoi VIETNAM Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kijamaa ya VietNam zimeafikiana kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano wa kiuchumi na kijamii ikiwa ni juhudi za kukuza maendeleo ya…
- WAZIRI KOMBO AWASILI NCHINI VIETNAM KWA ZIARA YA KIKAZIHanoi VIETNAM Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Hanoi, Vietnam kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia…
- VATICAN | TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIVatican Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema namna bora ya kumuenzi aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani hayati. Baba Mtakatifu Francisko…
- MAKAMU WA RAIS DR MPANGO ASHIRIKI MAZIKO YA POPE FRANCISVatican Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isidori Mpango amewasili katika Viwanja vya Santa Pedro, Vatican tayari kwa kushiriki maadhimisho ya Misa ya Mazishi…