0 0
Read Time:17 Second

Kilele cha wiki ya umoja wa Wanawake Tanzania kufanyika IKWIRIRI MKOA WA PWANI ambapo mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan. Katika sherehe hizo ataenziwa mwanamke shujaa wa Taifa letu Bi Titi Mohammed, mmoja wa wanaharakati katika mapambano ya kudai uhuru wetu.

RAIS SAMIA IKWIRIRI MKOA WA PWANI KESHO
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %