0 0
Read Time:12 Second

WU®Media PRODUCTION

Mtanzania anayeishi nchini Canada Bw. Joseph Katallah ameonesha nia ya kuwekeza nchini katika sekta ya miundombinu ya barabara kwa kushirikiana na kampuni ya Geopolymer Salutions ya nchini Marekani kwa kutumia teknolojia mpya iliyogunduliwa na kampuni ya hiyo.

READ

Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %