
Read Time:21 Second
WU® MediaPRODUCTION LIMITED
Ubalozi wa Tanzania nchini Belgium umetangaza kifo Cha Mzee Halfani Salim Halfani jina maarufu KIPANGA MORGAN
Balozi wa Tanzania nchini Belgium Mhe. Jestas Nyamanga na timu yake yote ya
ubalozi na familia zao wamepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mzee wetu Halfan Salim Halfan kilichotokea leo Antwerp.Tumepoteza rafiki. Ubalozi unatoa pole kwa wanafamilia na diaspora.
Taarifa zaidi za mipango ya mazishi zitatangazwa.









