Read Time:23 Second
WU® MEDIA

Marehemu Hamis suwedi Mpini
alifariki tarehe 16/04/2023 wakati akiwa anapatiwa matibabu hospitalini mjini ROME.
TAARIFA YA MAZISHI
Jumuiya ya Watanzania Rome wametoa taarifa Rasmi ya taratibu za mazishi. Marehemu Mpini atazikwa siku ya Jumatano tarehe 10/05/2023.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Rome amewataka Watanzania kujitokeza kwenda kumsindikiza Mwana Diaspora kwenye safari yake ya mwisho.
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Italy Mhe. Mahmoud Thabit Kombo anategemewa kuhudhuria mazishi hayo.









