
Read Time:12 Second
Ndege ya Air Tanzania (Dreamliner) tayari kuruka katika Uwanja wa Kimataifa wa Mumbai jioni hii, ikiwa imebeba watanzania 183 waliokwama India. Hii ni safari #8, ikiwa ni muendelezo wa safari za kuwarejesha watanzania waliokwama India. Bring #Tanzanianshome #MIAKAMITANOYAKAZI
- RAIS SAMIA AANDIKA HISTORIA KWA WINO WA DHAHABU
Leo ni siku ya kihistoria kwa Taifa letu. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP)… - TANZANIA, DRC KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
Zanzibar Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kijamii katika maeneo ya kimkakati ikiwemo biashara na uwekezaji, kilimo, madini, nishati, usafirishaji, miundombinu, afya… - FAMILIA YA MAREHEMU CHOMBO YATUMA SALAMU ZA SHUKRANI KWA BALOZI NA DIASPORA NCHINI ITALY
Na Kagutta NM | WU® Media Italy Familia yashukuru uongozi wa Jumuiya ya Watanzania Napoli na Watanzania Familia ya marehemu Abdallah (MARK) Suleiman Chombo ya mjini Tanga imetuma salamu za… - WIZARA YA MAMBO YA NJE NI KIUNGO MUHIMU KATIKA MAFANIKIO YA SERIKALI- WAZIRI KOMBO
Dodoma Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa Wizara kupitia Balozi zake duniani imekuwa kiungo muhimu cha kufanikisha na kuchochea… - SERENGETI BONANZA 2026 YAFANA JIJINI STOCKHOLM, SWEDEN
WU®Media Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Sweden umeratibu na kuwa mwenyeji wa Serengeti Bonanza 2026. Bonanza hili la mpira wa miguu lililoanza tarehe 7 Agosti 2026 na…
















